Video: Shilole ft Hassan Vocha – Paka la Bar
Sikiliza hapa na Download
The 16th ZIFF official selection has just been announced. A total of 80 films are featured in 4 categories: ZIFF Competition, Sembene Prize, Bongo Movies, Out of Competition. The festival kicks off on 29th June until 7th July. Here’s the [Read More]
Hizi hapa picha kutoka kwenye event ya nuau fainali ya foosball jumamosi
ANAITWA Kemmy jina lake halisi ni Julieth Samson msanii mahiri katika uigizaji Swahiliwood, msanii huyo ambaye pia ni mtunzi mahiri katika tamthilia na filamu pia toka alipookoka alikuwa kimya sana lakini ukimya wake ulikuwa na maana kulingana na maelezo yake [Read More]
Cpwaa, msanii maarufu na wa kimataifa wa Bongoflava akisaini mkataba wa kuteuliwa kuwa msimamizi na MC wa michuano ya mpira wa mezani (Foosball) nchini Tanzania, pamoja naye ni Caroline Kakwezi meneja masoko wa Heineken Tanzania na Uche Unigwe Mkurugenzi wa [Read More]
Hii ndio list ya filamu mpya zilizotolewa na kampuni ya usambazaji wa filamu Tanzania Steps entertainment kwa ajili ya mwezi huu wa tano. 1. Before Wedding Si Kila kitu wazazi wanaweza kufanya maamuzi juu yako katika maisha yako.Bali hata wewe [Read More]
Filamu ya Without Daddy itakayomuonesha mama yake Kanumba kama muigizaji mkuu, inaingia sokoni wiki hii na huku mashabiki wa Kanumba wakitarajia kupata uthibitisho kuwa, kipaji cha uigizaji alichokuwa nacho kipo pia kwenye damu ya mama yake. Filamu hiyo itakayosambazwa na [Read More]