Nakwenda kwa Mwanangu yaingia sokoni
Filamu ya NAKWENDA KWA MWANANGU iliyoandaliwa na kampuni ya Jerusalem ya Jacob Stephan ‘Jb’, ambayo amemshirikisha King Majuto chini ya Kampuni ya STEPS ENTERTAIMENT jana imeingia sokoni. Filamu hiyo ambayo imejaa viloja na vichekesho, inataraji kufanya mambo makubwa katika tasnia [Read More]
